Thursday, November 27, 2008

Je ni Lazima Magari ya Taka
Yawe Takataka...?



Hivi ni lazima magari ya taka lazima yawe taka taka?Magari ya taka jijini Dar mengi na makuu, mabovu mno na yenye kuharibika mara mara kwa mara.Najaribu kutafatuta kama kuna sheria inayoruhusu magari haya mabovu ambayo kama taratibu zikifuatwa hayapaswi kuwa bara barani,ndio yatumike katika ukusanyaji taka.Picha na Mdau Bernard Rwebangira

No comments: