Wednesday, May 21, 2008

Naomba Ushirikiano Wenu-Kawambwa..


Waziri wa Miundombinu,Dk. Shukuru Kawambwa (Kulia),akizungumza na wafanyakazi wa wizara hiyo juzi na kuomba ushirikiano wao katika kufanikisha kazi za Wizara hiyo kwa Ufanisi zaidi,ikiwa ni moja ya hatua za awali baada ya kuanza rasmi kazi wizarani hapo tangu ateuliwe na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo wiki iliyopita.Picha na Athuman Hamisi/TSN

No comments: