Wednesday, May 28, 2008

Mabingwa wa Taifa Cup 2008..


Wachezaji wa timu ya Ilala jijini Dar es Salaam,wakiwa katika picha ya pamoja na kombe na cheki yao baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Taifa kwa kuifunga Kinondoni 5-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini juzi.Picha na Yusuf Badi.

No comments: