Thursday, May 29, 2008

Mzee Makamba Arejea Fiti..


Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Yusuf Makamba na mkewe,maarufu kwa jina la Mama January,wakiwapungia mkono baadhi ya wanachama wa chama hicho,mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo, akitokea India ambako alikwenda kwa matibabu.Habari na Ahmed Michuzi.

No comments: