Wednesday, May 28, 2008

Dewji amwaga Mil 10..


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo,Joel Bendera,akipokea hundi ya shilingi Milioni 10 kutoka kwa Mbunge wa Singida mjini,Mohamed Dewji kwa ajili ya mchango wake katika maandalizi ya Mashindano ya Riadha ya Taifa yanayotarajiwa kufanyika mkoani Singida Juni 26-30 Hivi karibuni.Picha na Athumani Hamisi/TSN

No comments: