Inawezekana !!!!!
Jiamini unaweza na ufanye unachoamini!!
Friday, September 5, 2008
Tunavyosafiri!
Jumapili alasiri nilipanda pantoni kwenda Kigamboni. Kigamboni ni mahala pazuri na haraka unaona tofauti yake na upande wa pili wa jiji. Tatizo ni usafiri, pantoni za kwenda na kutoka Kigamboni ni chakavu sana.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment