kwikwi ya mtandao mpanda
                                     
 Mmoja wa maafisa walioko kwenye msafara wa Waziri Mkuu, Bw. Hamisi Kamundu akijaribu kupiga simu kwenye eneo pekee ambalo mtandao wa nanihii unapatikana katika kijiji cha Mapili wilayani Mpanda kama maandishi ya nyuma yake yanavyoonyesha. picha na mdau Irene Bwire mwandishi msaidizi wa waziri mkuu  
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment