Saturday, March 8, 2008

Kweli Treni ni kiboko !!!!

Hapa mnyama kapingwa na kitu treni baba huyo ni twiga na alikufa hapo hapo na kibya zaidi ilibidi gari moshi lishike breki za ghafla na hapo kila mtu alipatwa na wasiwasi ni noma jamani !

Hapa ndio twashuhudia yaliyo jiri kwa mnyama Twiga !

No comments: