Wednesday, March 12, 2008

Haya jamani mwana mtandao mwenzetu !!!!!

Jamani kuna mdau kutoka maeneo ya hapa jijini maeneo ya meeda cafe bwana Bonny Kiemba anawapa hii sana washikaji zake wote mnaomfahamu anasema tukumbukane kwa hii site maana iko bomba na pia hutokosa kutoka na kitu kutoka katika hii site.

No comments: