Thursday, August 27, 2009

nishati bwelele makete

HAYA NI MAPOROMOKO YA MTO LUVANYINA AMABAO HAUKAUKI MWAKA MZIMA. UPO KATA YA KIPAGALO TARAFA YA BULONGWA WILAYA YA MAKETE. YANAZALISHAUMEME MWINGI TU NA HOSPITALI YA BULONGWA IMEKUWA IKITUMIA UMEME HUU YENYEWE NA WANANCHI WA TARAFA ILE. Je Tanesco hawawezi kuona hili??
Mdau Josephat wa Makete
maji yakienda kwa kasi kwenye mtambo wa kuzalishia umeme
kwa msiofika Makete haya ndio baadhi ya mandhari yake



No comments: