Tuesday, August 4, 2009

kiplefti yetu idumuuuuu, idumuuuuu....
ni wiki ya tatu sasa na kiplefti yetu iliyopo mtaa wa azikiwe street jijini dfar bado tu kufunguliwa rasmi. redio mbao zinadai (mh...u yale yaleeeee...) kwamba anasubiriwa mhandisi amalize likizo mwezi ujao mwisho aje atoa maelekezo nini kifanyike. waziri mkuu yupo tayari kukizindua kiplefti hichi wakati wowote kikiwa tayari.

No comments: