Thursday, August 27, 2009

msaada tutani

naomba wajuzi wa lugha yetu mwanana ya kimatumbi wanisaidie maana hili linalinitatizaga sana kila nikipita ilala na kuona jengo hili ambalo limeandikwa "Chama Cha Walimu". Swali langu ni je lugha sahihi hapo ni ipi "Walimu" ama "Waalimu??"
Mdau Martin

No comments: