Saturday, April 24, 2010

shekilango njia panda !!


Jana asubuhi sikujua nini kililikumba gari hili maeneo ya barabara ya morogoro njia panda ya kwenda sinza kwa jina shekilango. Maana gari lilikuwa eneo hilo sasa sijui jamaa alikuwa anapita njia ya mkato au !! Ila ilinishangaza sana hii maana gari halikuonekana kama linatatizo lolote ila lilipokuwa ndipo liliko nishangaza mpaka sasa sina majibu ni kwa nini !!

No comments: