uchaguzi viti maalum mkoa wa dar
                                     Katika   uchaguzi huo wajumbe wa UWT waliwachagua wawakilishi wa makundi   mbalimbali kwa ajili ya VITI MAALUUM,  Mwenyekiti wa UWT Mkaoni Dar es   salaam Zarina Shamte Madabida alikuwa mshindi wa kwanza. na kufuatiwa na   Ritah Mlaki,  Mkutano huo ulifunguliwa rasmi na Mlezi wa Chama mkoa wa   DSM Abdulrahman Kinana, na kuhudhuriwa na MWenyekiti wa UWT Taifa  Sophia  Simba.
 
No comments:
Post a Comment