Natafuta nyumba ya  kupanga
                                     Habari Wadau,
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba 3 au 2 iwe na sitting room, dinning room na iwe na geti pamoja na car parking area. Kwa ufupi nyumba iwe ktk hali nzuri.
Mahala iwe Sinza, Dar es salaam.
Kama una amini unayo taarifa tafadhali nipigie simu kupitia 0754 935260.
Nashukuru.
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba 3 au 2 iwe na sitting room, dinning room na iwe na geti pamoja na car parking area. Kwa ufupi nyumba iwe ktk hali nzuri.
Mahala iwe Sinza, Dar es salaam.
Kama una amini unayo taarifa tafadhali nipigie simu kupitia 0754 935260.
Nashukuru.
No comments:
Post a Comment