FFU kupereka mzuka wa dansi FRANKFURT !



    Ngoma Africa Band kukiwasha cha moto ! Afrika-Karibik Festival, Frankfurt
 
 
 Bend maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya "The Ngoma Africa Band" aka FFU
 
wanatarajiwa kutua kwa nguvu zote !katika onyesho kubwa la Afrika & Karibik Festival, 
litakalofanyika katika Viwanja vya Robestock Park, Frankfurt,Ujerumani siku ya Jumamosi 
07-08-2010 maelfu ya washabiki wa mziki nchini ujerumani wanaisubiri bendi hiyo kwa hamu kubwa... 
kutokana na mdundo wake unaochezeka. 
habari zinatonya kuwa bendi hiyo pia itatingisha jukwaa katika onyesho lingine kubwa 
la Festival mjini keiserslautern,Ujerumani siku ya Jumapili 8-08-2010 ambako katika kila 
hali washabiki wapo tayari kwenda sambamba na gwaride la FFU wa Ngoma Africa band. 
usikose kujipa raha mwenyewe kwa kuwasikiliza hapa www.myspace.com/thengomaafrica
 
1 comment:
kamanda ras makunja mbona unatisha na huu mdundo wenu
Post a Comment