Ni Robo Tu Ya  Wanaume Wa Dar Wenye Mbegu Zenye Rutuba
                                     
IMEFAHAMIKA,  kuwa idadi ya wanaume wa Kitanzania wenye mbegu za uzazi  zisizorutubisha hivyo kutoweza kurutubisha yai la mwanamke na  kusababisha mimba inaongezeka. Kwa mujibu wa gazeti la ‘ The Citizen’  toleo la Jumamosi ( Leo), Julai 17,2010 zaidi ya asilimia 35 ya wanaume  wanaofanya vipimo vya rutuba za mbegu za uzazi wamegundulika kuwa  hawana.
Mara nyingi lawama za kukosa mtoto katika familia zimekuwa zikielekezwa kwa mwanammke kutokana na .... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Mara nyingi lawama za kukosa mtoto katika familia zimekuwa zikielekezwa kwa mwanammke kutokana na .... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
No comments:
Post a Comment