Monday, July 12, 2010

Kikaoni jana !!!
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pampja na Rais wa Zanzibar Amani Abedi Karume(kulia) pamoja na Makamu wa Rais Dr.Ali Mohamed Shein(wapili kushoto), pamoja na mgombea mwenza Dr.Mohamed Gharib Bilal mwishoni mwa mkutano mkuu wa CCM mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo. Picha na Freddy Maro

No comments: