Saturday, July 24, 2010

Hivi Kumbe Juma Nature Msusii...?




Nyota wa Bongo Flava Kassim Kiroboto aka Juma Nature(aliyesimama) akijaribu kusuka nyewle msanii mwezanke CPWAA kutoka Park Lane .Ni miaka mitatu iliyopita Leaders Club Kinondoni jijini Darisalaam. Licha ya ususi huu , C-PWAA ni msanii ambaye huwa anapenda kusuka nywele zake kwa mitindo tofauti tofauti.Picha na Mdau king Kif

No comments: