Monday, June 8, 2009

wiki ya mazingira duniani
Waziri wa nchi ofisi rais dk batilda burian akiangalia Bani la kukaushia Tumbaku wakati wa wiki ya Siku ya Kuadhimisha Mazingira Duniani Mkowani Tabora KUlia Afisa Mafunzo {ATTT } Bw Michael Mshga Mkurugenzi Idara ya Misitu na Nyiki Dk Kahama Kilabuka na Mkuu wa Wilaya Tabora Mhe Mussa Chami Kaulimbiu Wananchi Tuungane Kukabiliana na Maadiliko ya Tabianchi
. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Batilda Burian akiangalia Jiko la Sola Kwenye Maonyesho ya Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika Mkowani Tabora KUlia Mratibu wa Kikundi cha Jumuia na Maendeleo Tabora Kushoto Mkuu wa Wilaya Tabora Bw Mussa Changa.

No comments: