Monday, June 8, 2009

matembezi ya kupambana na saratani ya matiti washington DC
Juu na chini ni kina mama wa Kibongo wakishiriki katika libeneke la matembezi ya Susan G. Komen Breast Cancer Foundation jijini Washington DC katika harakati za kupambana na saratani ya matiti inayosumbu kinmama ulimwenguni kote. Watu wa matifa mbalimbali walishiriki katika matembezi hayo yalofanyika Jumamosi

No comments: