Monday, June 8, 2009

libeneke la foleni saa za joni tegeta
mitaa ya tegeta nyakati za jioni

mkuu wa kaya, hebu tusaidiane kidogo
picha hii inaonyesha hali halisi ilivyo katika maeneo ya wilaya yako ya tegeta, kituo cha mabasi kimevamiwa na wafanya biashara hasa wakati wa jioni hali inayopelekea kukosekana kwa sehemu za kupaki magari.
hali hii inasababisha magari kupaki barabarani hivyo kupelekea kuwa na msongomano na usumbufu katika hili,
soko hili lilihamishwa na kupelekwa maeneo ya tegeta kibaoni ambako pia kuna kituo kikubwa cha mabasi lakini hili lilikuwa kama nguvu ya soda kwani lilisimamiwa kwa muda na kisha kuachwa na hali imejirudia kama zamani, nani wa kulaumiwa hapa!....jiji,manispaa,serikali au wananchi???
mdau
Ael.

No comments: