Monday, June 8, 2009

jiji la mwanza ndio mabingwa wa usafi
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akikabidhi kikombe Kwa mshidi wa kwanza Kwa Usafi wa Majiji Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Bw. John Minja ambao pia na washindi wa kwanza wakati wa Sherehe za Siku ya Mazingira Duniani iliyafanika Mkoani Tabora kulia Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Abedi Mwinyimsa , Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Dk Batilda Burian. Picha na mdau Ali Meja

No comments: