Sunday, June 14, 2009

vodacom foundation yamwaga misaada mafia
Meneja Uhusiano wa Vodacom Foundation, Yessaya Mwakifulefule (kushoto) akikabidhi mabati kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Lewis Kalinjuna kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa shule ya sekondari Kitomondo, wilayani humo.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Foundation, Yessaya Mwakifulefule (kushoto) akikabidhi mifuko ya saruji kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Lewis Kalinjuna kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara ya shule ya Kitomondo.

Meneja Uhusiano wa Vodacom Foundation, Yessaya Mwakifulefule (kulia) akikabidhi kemikali kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kitomondo, kwa ajili ya kusaidia mafunzo kwa njia ya vitendo katika maabara ya shule hiyo, wilayani Mafia.



No comments: