vodacom tanzania yazindua huduma za blackberry
                                     
 bosi wa masoko wa vodacom tanzania ephraim mafuru akielezea kuhusu kuanzishwa kwa huduma ya blackberry za bei poa za kampuni hiyo ambao imeuzindua usiku wa kuamkia leo hoteli ya moevenpick, dar
 wadau wakijidai na blackberry zao mpya za voda
 mafuru akiwaeleza bosi wa star tv samuel nyalla na bosi wa masoko wa tbl david minja kuhusu matumizi ya blackberry. 
 
No comments:
Post a Comment