jk atua sauzi kuzindua
                                     
 JK akipokewa na Rais wa Bunge la Afrika Dk. Getrude Mongela uwanja wa ndege wa Oliver Tambo usiku kuamkia jana. Mchana huu Jk amefungua kikao cha 10 cha kawaida cha bunge hilo na kurejea bongo kuendelea na ziara yake ya siku 8 ya mkoa wa tabora
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment