Libeneke la Culture Heritage A-taun
                                     
 Jengo jipya la ituo cha sanaa na utamaduni cha Culture Heritage jijini a-taun kwa ndani. ghorofa tatu zote ni sehemu ya kuoneshea kazi za sanaa na utamaduni
 mgeni akipozi mbele ya kinyago cha kimakonde ambacho ni kikubwa kuliko vyote vilivyopata kuchongwa kutoka katika shina moja la mti
 
 madhari ndani ya kituo hiki
 wageni wakishangaa kinyago cha kimakonde
 sehemu ya chini ya taswira ya ngao uionayo ukipita kwa nje
 bustani murua zimezunguka kituo hiki
 lango kuu lenye nakshi nakshi toka zenji
 sanamu za mifugo na wanyama zimezagaa kile kona
 sehemu ya ndani ya jengo la zamani
 Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha sanaa na utamaduni wa Mtanzania cha Culture Heritage, Saifudin Khanabahi, akiwatembeza wageni katika jengo jipya la kituo hicho lenye nafasi la mita za mraba zaidi ya 30,000 na litapofunguliwa kabla ya mwisho wa mwaka huu litakuwa ni kituo kikubwa cha sanaa na utamaduni wa Afrika bara zima, kama si dunia yote
 jengo jipya la Culture Heritage lina mambo mengi mapya ikiwa ni pamoja na ukumbi wa kisasa wa sinema na maonesho ya jukwaani kwa ajili ya kuonesha utamaduni wetu kwa wageni

No comments:
Post a Comment