Monday, October 12, 2009

hongera notburga, madaraka na gerald kwa kukwea mlima kilimanjaro
Siku ya saba – Kazi imekamilika. Gerald Hando (shoto), na Madaraka Nyerere kileleleni Uhuru (5,896m).
Madaraka Nyerere akipokea cheti cha kufika Uhuru Peak (5,896m) kutoka kwa Yahoo.

Gerald Hando akipokea cheti cha kufika Uhuru Peak (5,896m) kutoka kwa Yahoo.

Yahoo anamkabidhi Notburga Maskini cheti cha kufika Stella Point (5,745m) baada ya kurudi mjini Moshi kwenye hoteli ya Springlands.

Siku ya nne - Safari ya kutoka kambi ya Shira 2 kuelekea kambi ya Barranco.
Siku ya tano – Mlima Kilimanjaro unavyoonekana kutokea kambi ya Karanga (3,963m).
Siku ya saba – Yahoo (Muongozaji) kushoto, na Gerald Hando wakikagua mandhari juu Mlima Kilimanjaro dakika chache baada ya kufika Uhuru Peak (5,896m). Safari ilianza saa 6 usiku kufika kambi ya Barafu (4,600m) na kukamilika asubuhi kabla ya saa 3:30. Nyuma yao unaonekana Mlima Meru.
Siku ya kwanza – Safari ya kuelekea Big Tree Camp 2,650m). L-R Madaraka Nyerere, Gerald Hando, Notburga Maskini.



No comments: