Inawezekana !!!!!
Jiamini unaweza na ufanye unachoamini!!
Friday, November 14, 2008
KISAGO UDSM
Yaani wanafunzi wote wanadai haki ya mikopo lakini walipeana kichapo kichizi wenyewe kwa wenyewe, sijui kama Waziri wa Elimu angejitokeza mwenyewe wangemfanyeje? Mungu wangu sijui wapi tunakwenda.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment