Wednesday, June 16, 2010

wadau kazi kwenu...
IF YOU HAVE A PLOT WITH TITLE DEED
We are looking for individuals who have got plots with title deeds in and around Dar-es-salaam and with regular income.

We have teamed up with one of the reputable banks in Tanzania to construct one house which will be used as a sample house for a new construction technology.

If you would like us to construct a 78sq/m two bedrooms house on your plot please send us the following information about your plot:
The location
The size
Any other necessary information.
Please send the information on the following address
P.O Box 14131
Dar-es-salaam
Tanzania
Email: nyumba.bora@gmail.com
--------------------------------------------------------
WADAU WENYE VIWANJA
VILIVYO KUWA NA HATI MILIKI
Tunatafuta wadau wenye viwanja vilivyokuwa na hati miliki vilivyopo Dar-es-salaam na maeneo ya karibu na wenye vipato.
Tumeingia kwenye makubaliano na benki moja maarufu Tanzania kujenga nyumba ya mfano kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Kama utapendelea tukujengee nyumba kwenye kiwanja chako tafadhali tutumie ujumbe ukiambatana na vifuatavyo;
Sehemu kiwanja kilipo
Ukubwa wa kiwanja
Maelezo zaidi kuhusu kiwanja
Tuma kwenye anuani hii
S.L.P 14131
Dar-es-salaam, Tanzania, barua pepe:
nyumba.bora@gmail.com

No comments: