Tuesday, December 23, 2008

taji la miss EA labaki burundi
Miss East Africa, Claudia Nuyimana akivishwa taji katika fainali zilizofanyika wikiendi hii huko Bujumbura, Burundi
MREMBO wa Burundi Claudio Noyimana alijinyakulia gari aina ya Lexus lenye thamani ya zaidi ya sh milioni 40 lililotolewa na kampuni ya Sozmyya Dar es Salaam, baada ya kushinda taji la Miss East Africa.

Katika shindano lililofanyika kwenye hoteli ya Club Di Luc Tanganyika ya mjini hapa, nafasi ya pili ilichukuliwa na Mtanzania, Annete John Mwakaguo wakati nafasi ya tatu ilikwenda Mauritius kwake Anais Veerapraten.

Annete amejinyakulia dola za kimarekani 5000 wakati Anais amejinyakuliadola 3000 huku wote wakipata mkataba wa kufanya kazi na kampuni ya RenaEvents ya Dar es Salaam ambayo ndiyo iliandaa shindano hilo.

Mshindi wa pili Annete Mwakaguo (kushoto) Miss East Africa, Claudio Nuyimana (katikati) na mshindi wa tatu, Anais Veerapatren

tof five kutoka shoto, laura grenouille, rahwa ghidey, anais veerapatren, annete mwakaguo na claudia nuyimana


lynette lwakatare wa tanzania ambaye pamoja na mwenzie aliyetuwakilisha hakuambulia kitu
majaji wakijumlisha maksi za washiriki


1 comment:

Anonymous said...

mshikaji punguza kuiba picha za watunkwenye mablog tafuta zako