Inawezekana !!!!!
Jiamini unaweza na ufanye unachoamini!!
Wednesday, May 13, 2009
MBAGALA
Jamani Mbagala jana palikuwa pachungu baada ya wanajeshi kuamua kuteketeza mabomu yaliyosalia, watu waliamua kutimia na kwenda vitongoji vingine kukwepa milipuko. Lakini yote yalikuwa salama!!!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment