Inawezekana !!!!!
Jiamini unaweza na ufanye unachoamini!!
Wednesday, December 10, 2008
Jana ilikuwa Siku Yetu Ya Uhuru!
Uhuru wa Tanganyika ulikuwa Disemba 9, 1961. Ni miaka 47 iliyopita. Pichani ni miezi kadhaa kabla ya uhuru mwaka 1961, Mwalimu akiwa na Mama Babro Johansson nyumbani kwake Kahororo, Bukoba. ( Picha ya maktaba yangu)
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment