Inawezekana !!!!!
Jiamini unaweza na ufanye unachoamini!!
Saturday, September 20, 2008
MATATIZO YA MAJI
Yaani sasa tatizo la maji linaelekea kuwa jambo la kawaida kwani baada ya bwawa wa Minaki kuanza kukauka wakazi wa wilaya ya Kisarawe wanakesah kutafuta maji, hebu cheki foleni hii kama ndio umefika kuchota maji!!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment