Inawezekana !!!!!
Jiamini unaweza na ufanye unachoamini!!
Tuesday, September 16, 2008
ikulu ya kwanza tanganyika
Pichani ni Ikulu ya kwanza kujengwa hapa Tanganyika na kutumiwa na Wajerumani,jengo hili ambalo wao waliliita BOMA lilijengwa mnamo mwaka 1897.Liko ndani ya mji wa kihistoria wa Bagamoyo nje kidogo ya jiji la dar
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment