Nipe Pesa Zangu..
                                  
Mfanyakazi wa Kampuni ya kuegesha magari nchini TPS) akimkunja kijana anayeshughulika na kuegesha magari katika mtaa wa Samora,walikuwa wakigombania fedha ambazo inasemekana kuwa kijana huyo alichukua kutoka kwa mteja aliyeegesha gari lake mahala hapo.Picha na Evance Ng’ingo
         
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment