Athumani Hamisi Afanyiwa
Upasuaji...
Taarifa zinasema kwamba operesheni hiyo imefanikiwa. Hata hivyo haikuzungumzwa mipango yake ya tiba.
Hata hivyo inasemekana kwamba madaktari hakuwaridhishwa na jinsi mgonjwa huyo alivyocheleweshwa kufikishwa hospitalini kwa matibabu.
1 comment:
OYA MWANA UNATISHA MTU MZIMA YAANI UKO JUUUUUU!!!
Post a Comment