Ama kweli duniani kuna mambo.!



Soma stori nzima kwa
ISHIKE RADIO PART 11 street album(AFRICAN BANTU EDITION), available now for FREE download! Includes TZ artists like Matonya, TID, Chidi Benz, Q-Jay, Mwana FA, Hussein Machozi, Ngwea, Mr Blue and many moreThe street album is hosted by Bamboo the African BantuThe album features new and exclusive music from Bamboo plus tons of world premiers from various artists. One thing I will say is that I break records on an international platform so like Sparks says "Get Familiar". With this ISHIKE RADIO SERIES I showcased various African artists plus other artists based across the world to create that international vybe. ISHIKE!!!!!!!
Your Once in a LIFETIME INDULGENCEBy Mustafa Hassanali. Mustafa Hassanali shall launch his DEBUT BRIDAL COUTURE Collection for the year 2009, on SATURDAY February 7 at the The Little Theatre Club, Next To ST. PETERS CHURCH on Haille Sellasie Road “Malkia” is proudly sponsored by ZAIN, STELLA ARTOIS and MOTOMEDIA
JK akimjulia hali mpiga picha wa magazeti ya Serikali ya Daily News na HabariLeo, Mpiganaji Athuman Hamisi Msengi, wakati alipomtembelea kwenye Hospitali ya Milpark (pichani chini) ya mjini Johannesburg, Afrika Kusini jana baada ya kikao cha wakuu wa nchi za SADC. Mpiganaji Hamisi amelazwa baada ya kupata ajali ya gari huko Kibiti, Mkoa wa Pwani, takriban miezi mitatu ilopita na kupata majeraha kwenye shingo na uti wa mgongo. Hali yake inaendelea vizuri japo maungo bado hayafanyi kazi sawasawa. Picha na mdau Juma Kengele wa Ikulu
Beware!
WIZI ULIONIKUTA
Mbuzi aliyekuwa akila ride juu ya kichwa cha scania akiangalia mandhari ya bahi wakati lori
Bila huruma ya sirikali.... Any Time Canceled Limited ingewafika haya.....!!!
Kijana aishie katika mazingira magumu akiwa amelala katika bustani ya Nyerere mjini
Mhariri,
NAFURAHI kusema kwamba nimefurahishwa na RTO-Iringa bwana Mnubi ambaye kama sijakosea ni senior superitendant kicheo.Bwana huyu juzi tarehe 19/01/ 09 alitusimamisha pale Iringa{check point} na kuanza kukagua magari yote yanayosafiri mikoa ya jirani kupitia mkoa wake.Akishirikiana na vijana wake pamoja na mkaguzi wa magari wa polisi wa mkoa,walikagua kama kila gari lina dereva wa ziada pia kama linakidhi mahitaji ya kusafiri safari ndefu,kwa magari ambayo hayakukidhi sheria hizo yalitozwa faini ya shilingi laki moja kama faini au kumwacha kondakta apelekwe kortini na wengine kuruhusiwa kuendelea na safari.
Kwa kitendo hicho kililaaniwa na abiria wengi wakiwemo wa basi nililokuamo HOOD la Tunduma wakidai kwamba wanacheleweshwa bila kujua kwamba RTO na timu yake wako kazini pia wako pale pia kulinda haki ya abiria na kupunguza ajali barabarani cha kushangaza ni kwamba abiria wa basi langu na mabasi mengine walianza kumzomea na kumtukana RTO wakisahau haki yao ya kufika salama,ni muhimu madereva kupokezana hasa kwa safari ndefu kwani siyo nzuri kiafya pia umakini barabarani unapungua kwa sababu akiwa mmoja anachoka.
Binafsi naunga mkono kazi ya RTO-Iringa ila TU ISIWE NGUVU YA SODA.Kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza ajali barabarani natoa rai abiria tusiwe tunatetea upumbavu unaofanywa na madereva kama waliofanya basi nililokuamo na mengine.Pia vita ya kupunguza ajali si ya askari polisi tu bali na abiria pia kwani wao ndiyo walengwa wakuu.
Hii iwe changamoto kwa ma RTO wengine kwani kutokua kwao makini kunawapa kiburi madereva na madereva wanamwona RTO –Iringa mnoko wakati yuko kazini.Chakushangaza tulitoka Dar,Pwani na Morogoro lakini hatukukaguliwa hii inanipa picha ya UZEMBE wa ma RTO wa mikoa hiyo.Hivyo pongezi kwa RTO-Iringa na timu yake, pia Iringa iwe ni mfano ,
kwani mabasi hubeba roho za watu na si mawe.
Kasuga (mzee wa muliko),